Isaiah 66:5


5 aSikieni neno la Bwana,
ninyi mtetemekao kwa neno lake:
“Ndugu zenu wanaowachukia ninyi
na kuwatenga ninyi kwa sababu ya Jina langu, wamesema,
Bwana na atukuzwe,
ili tupate kuona furaha yenu!’
Hata sasa wataaibika.
Copyright information for SwhKC